USHAKAFUNGA

Response to Clifford Mateh #CLIFF #EUGY #DENNO Denis Barasa Eugizy Eugene Bii Precious Nekky on Modern African Poet FB page

Poa sana
Eaza maze sikuweza kureply mapema
Lakini haina noma
Si bado ntakucheki majioni ama?

We hujui wasoro huku vile ni kabao
Wanadai ati ninatupa mbao
Juu kwanza hauna dao
Ati zi, huwezi come kucheki masa
Ati kuna vile tu unaua masaa
Na mimi ukafinye halafu ukae masaa

By the way hao maboy wengine hata si wa ghetto
Kwanza kuna mmoja ati nasikia ametoka stato
Macoolkid wanapoa hapo karibu na home ile base ya wazito
Compe iko juu but si we pia we uko juu game
Nimejibeba na siringi ndio maana kuna fame

Kwanza kabla nisahau kuna huyu dame
Sielewi form yake ni gani
Hebu kwanza nishow ni nani
Anajiita Nekky
Namuonea eighteen na vile namcheki
Ni ka antaka kucheza rough na mi noma staki

Anadai ati basic
But sielewi juu hako specific
Maze situation ka itakuwa toxic
Ujue mi sitaezana na drama
We nishow ka atakua noma
Nijitoe tu mapema

Naelewa uko works, baadaye tutabonga
Siezi taka umwage unga
Usikue na was ushakafunga
Hao maboy wengine kwanza nawaekea dunga
Masanction tu, juu we actions ndio zinabonga
Na si ati nimekuchocha sasa uanze kuringa

Chills zako chali zinanibamba aje
Swag yako nayo noma aje
Hata usikue na was box ya Cliff Mateh
Nishaingia tokea jioni utapewa mate
Ntakutime maze usihate

©️ C Akui 2020

CarolsInsights

ThatAfricanGirlPoetry

Reply to#CarolAkui #Eugy#Denno

ACHANA NAO
Niaje msupa,
Nacheki wasoro wamekuja,
Ati mi kucheki masa yako ni scam,
Acha nitumie hii chance,
Before nirudi kwa simiti na mbao.

Siezi bonga most,
Acha nipitie jioni nikitoka job,
Actions zangu zitawablock.

Nacheki macoolkid wako rada yako,
Mi simind compe,
Kipchoge ni my middle name,
Nakimbia long race,
Hao wanatafuta short term grace,
So we decide penye utagraze,
Juu mi siezi fight na wasee wanadai kuspoil my name,
Wacha waongee wanipee fame.
©Cliff the drunk poet

Leave a comment